Huddah Monroe Amfagilia Wema kwa Diamond, awaponda wapita njia.....


 Mwakilishi huyo wa Kenya kwenye BBA mwaka huu, amefunguka kupitia Instagram kuwa anampenda Wema Sepetu na anamuona ndiye mwanamke wa kweli kwa Diamond Platnumz.
 Akiweka picha yake Wema, Huddah ameandika: I love her pants…..Too fresh @diamondplatnumz ,huyu Dame wako ,kipenzi chako.For life ,let nobody tell u otherwise.Hao wengine wapita njia tuu .God bless the two of u.RIP to her dad,I know how it feels to lose someone so dear to u.Take heart Ms Boss.I heart you.”

 Kauli hiyo ya Hudda imekaribisha mjadala mkubwa hasa kwa mashabiki wake wa Tanzania.