Bibi kizee mchawi adondoka wakati akiwanga, aambulia Mkong'oto Mkali toka kwa Wananchi


Bibi mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika amesadikika kudondoka kichawi maeneo ya Tabata Kinyerezi Kisiwani baada ya wenzake aliodai  kuwa nao kumuacha.

Bibi huyo ambaye amechezea kipigo toka kwa raia  waliomtuhumu  kuwa  ni mchawi , amedondoka asubuhi ya leo  katika maeneo hayo huku akionekana kutokuwa na kumbukumbu nzuri