Rihhana Ajiachia Uch! katika Carnival Barbados, Angalia Picha Zote Hapa.


Aliyekuwa Mpenzi wa muda mrefu wa msanii Criss Brown, Rihanna Jumamosi hii aliamua kupunga mawazo na ku make headlines tena pale alipoamua kujiachia kihasara hasara alipokuwa katika Carnival Barbados kama anavyoonekana Pichani.

Pichani hapo juu ni jinsi gani Mzuka umempanda na ku bong'oa kabisa huku akizii kujiacha wazi. Kiafrica sijui tunalionaje hili? haya bwana ndo Ulaya Ulaya Tena.