Diamond Ala Shavu la Kutangaza Coca cola, Angalia Picha za Uandaaji wa Tangazo Hilo.





Hizo ni Baadhi ya Picha Ambazo Msanii Diamond Platnumz Aliziweka katika Instsgram yako akionesha jinsi hali ilivyokuwa katika utengenezaji wa Tangazo la Soda ya Cocacola Huko South Africa.



Diamond Alikuwa Miongoni mwa Abiria waliokwama jana kutokana na ajali ya moto katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta, na aliendelea na Safari baada ya kukodiwa Ndege Binafsi na Coca Cola.