Chris Brown Aamua Kustaafu Kuimba, Ni kutokana na Kuandamwa na Maskendo na Mabalaa


Mwanamuzi wa RnB wa Marekani, Chris Brown huenda akastaafu rasmi kuimba kutokana na kuchoshwa na kuandamwa na skendo na mabalaa. Msanii huyo amesema hayo kupitia Twitter na Akaachia Hizo Tweets Mbili.