Rihanna ajiachia baada ya X-Girlfriend wa Criss Brown kujitupia na picha za utupu mtandaoni

--> --> Kama anavyoonekana katika picha mwanadada Rihanna amekutwa akijiacha alipokwenda kula vacation huko miami, staa huyo mwenye kawaida ya kuachana na kurudiana na mpenzi wake wa muda mrefu, Criss Brown. Rihanna bado hajarudi katika afya yake baada ya kuahirisha ziara yake ya "Diamonds" kutokana na kuugua, hata hivyo ameonekana mwenye afadhali baada ya kutoka kwa daktari bingwa wa Surgery huko.