Gwyneth Paltrow atia fora na kivazi chake


Mwanadada Gwyneth Paltrow (40), ametia fora baada ya kuingia na gauni liliokuwa wazi upande wa pembeni na kumfanya aonekane kama hajavaa kitu. kituko hicho kimetokea wakati wakizindua Movie mpya ya Iron Man 3 ambayo ameigiza kama mwanadada mahiri na komandoo. Kutokana na kivazi hicho baadhi ya wachambuzi wa mambo wamesema hakustahili kupewa tuzo ya mwanamke mzuri siku chache zilizopita.





-->