Beckham atolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kucheza rafu mbaya

Huko katika Legue 1 nchini Ufaransa na kuisababishia timu yake kumaliza mchezo ikiwa na wachezaji 8 wa ndani baada ya kutolewa yeye na mwenzie .Beckham ambaye aliingia uwanjani kipindi cha pili alimchezea vibaya

-->

Youssef Adnane  na kumfanya refa kumpa kadi nyekundu moja kwa moja. Angalia video chini