Maziwa Ndo Habari ya Mjini


 Imeibuka fassion mpya kwa vimwana wa ulaya kupiga hasa sehemu za maziwa yao na kuzitupia sehemu mbali mbali kama kujinadi hivi, wengi wao wakiwa ni mabinti wa miaka 20 hivi, naona hii ipo njiani kuja Bongo.