
Miongoni mwa wasanii kutoka nje waliopamba Tamasha la Fiest kwa pande za Dar es salaam ni msanii Iyanya Mbuk, juz ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa na katika kuonesha ni jinsi gani jamaa anapenda na kuhusudu "mambo" flani basi keki yake ilikuwa ni ujumbe tosha.