Tom Staniford, 24 ni mzaliwa wa Uingereza Anayesumbuliwa na Matatizo ya Utapiamlo kwa Steji ya Pili. Kutokana tatizo hilo Mwili wa Tom Hauruhusu kuhifadhi Mafuta katika sehemu za ngozi yake hususan ya Usoni na Mikononi na Miguuni.
Tom Ambaye amejitoa kutimiza ndoto zake za kuwa Bingwa wa Kimataifa wa Mbio za Baiskeli anaishi Maisha ya Kawaida ingawa kuna kipindi watu humshangaa kutokana na hali yake lakini yeye halijali hilo. Mwili wake una Asilimia 40 tu ya misuli na nyma za mwanadamu wa kawaida.
Tom amekuwa akisumbuliwa na magonjwa nyemelezi kutokana na hali yake ambapo mpaka sasa an Kisukari cha aina 2 tofauti na pia uwezo wake wa kusikia ni mdogo mno hivyo yamlazimu aweke vifaa maalum masikioni ili kusikia vizuri.
Pamoja na Matatizo yoote, Tom alifanikiwa kukutana na Alice Miller 23, mwanamke aliyemkubali kama alivyo na wanaishi woote mpaka sasa. Alice anakutana na changamoto nyingi katika kuishi na Tom hususan katika suala la vyakula na mizunguko ya kawaida ya wapendao.
Ugonjwa Abaugua Ton ni watu Wnau tu wanaumwa hivyo duniani.

Kimichezo Zaidi



Enzi za Ototo wake, Tom, 9,(wa kulia) Alikuwa akiungua taratibu taratibu

Akiwa na miaka 5
